BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, April 1, 2010

DJ CHANCY nakukumbuka sana kaka!!!!!


                                                             Dj Chany(Tripple "A")
Kaka nakukumbuka sana kaka,wakati nafanya field 87.5 Kili fm-Moshi mwaka 2007 tulikuwa karibu sana,nilikuwa nawe katika shows karibu zote ulizokuwa unafanya pale,naikumbuka show moja kali sana ulikuwa unaifanya na FDK-One "The Storm" mchana kuanzia 8:00-10:00 jioni,wewe ni mkali sana na naamini ukali wako umezidi mara dufu sasa kwakuwa uko na wanaoijua kazi hasa (Tripple "A" fm).Nakutakia kazi njema ya usukumaji wa gurudumu la burudani huko pande za A-Town.

1 comments:

Born 2 Suffer said...

Safi kabisa karibu sana ndugu hapo umetufikisha penyewe haswaaa.