Miaka miwili iliyopita ulikuwa rafiki yangu sana,nakumbuka tulikuwa tunapiga stori hata mpk saa saba za usiku,kiukweli nilikuwa na wakati mzuri sana,nilifurahi na kuenjoy ile mbaya,u r cute,charming and kind,lakini kwanini siku hizi hunikumbuki???nilikukosea nini???nambie niseme SORRY,simu yako haipatikani,nadhani umebadili namba,kwanini???nikumbuke basi jamani???mimi nakukumbuka sana coz daily lazima nipite kiduchu.blogspot japo kukuona tu.NIMEKUMISS.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani matai...
0 comments:
Post a Comment