Miaka miwili iliyopita ulikuwa rafiki yangu sana,nakumbuka tulikuwa tunapiga stori hata mpk saa saba za usiku,kiukweli nilikuwa na wakati mzuri sana,nilifurahi na kuenjoy ile mbaya,u r cute,charming and kind,lakini kwanini siku hizi hunikumbuki???nilikukosea nini???nambie niseme SORRY,simu yako haipatikani,nadhani umebadili namba,kwanini???nikumbuke basi jamani???mimi nakukumbuka sana coz daily lazima nipite kiduchu.blogspot japo kukuona tu.NIMEKUMISS.
RAIS SAMIA KUFUNGUA MKUTANO WA ALAT 2024 UTAKAOFANYIKA ZANZIBAR
-
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 mgeni rasmi Mkutano wa 38 ALAT utakaofanyika Tarehe 23
- 25 April 2024 #Zanzibar
. . #alat @ortamisemi @samia_suluhu_hassan @dr.hmwi...
0 comments:
Post a Comment