Miaka miwili iliyopita ulikuwa rafiki yangu sana,nakumbuka tulikuwa tunapiga stori hata mpk saa saba za usiku,kiukweli nilikuwa na wakati mzuri sana,nilifurahi na kuenjoy ile mbaya,u r cute,charming and kind,lakini kwanini siku hizi hunikumbuki???nilikukosea nini???nambie niseme SORRY,simu yako haipatikani,nadhani umebadili namba,kwanini???nikumbuke basi jamani???mimi nakukumbuka sana coz daily lazima nipite kiduchu.blogspot japo kukuona tu.NIMEKUMISS.
WASHINDI 56 MTOKO WA KIBINGWA BETIKA KUSHUHUDIA DERBY DIMBA LA MKAPA KESHO
-
WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya
Kariakoo kati Simba na Yanga itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkap...
0 comments:
Post a Comment