Media patner wa Channel O "Conscious Soul Ent" na "Urbun Phenomenon Ent" wanamleta American Rapper "Canibus" live ndani ya Bassline Newtown South Africa Ijumaa kuu hii ya tar 2.
Mchizi ana asili ya Senegal pia(kama Akon) na alianza mapema sana akiwa karibu zaidi na memba wa zamani wa Fugeez "Wyclef Jean" jamaa pia alishawahi kuwa ndani ya beef zito na mkongwe LL Cool J kipindi fulani hivi,alishawahi kupiga mzigo na washkaji kibao kama Wyclef Jean mwenyewe,Kurupt toka Dog Pound,Rass Kass,Kool G Rap,Keith Murray,Heltah Skeitah,Jed Mind Tricks,Redman,R.Kelly na machizi wengine kibao.Kama wallet iko poa hebu jisogeze tuoneee!!!
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasema leo Aprili,19...
0 comments:
Post a Comment