DC MPOGOLO AONGOZA MAOMBEZI YA TAIFA KATIKA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR
-
*Jiji la DSM lafanya Hafla ya Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa
KTIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
leo t...
Monday, March 29, 2010
HAPPY BIRTHDAY DI' DADA!!
Japo hujasema ni kalenda ya ngapi umechana leo lakini kwangu sio ishu,mi nakutakia tu uchane kalenda mia zaidi na kila ndoto unayoota iwe kweli,happy birthday bi' dada!!!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:18 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
Hongera Agness!
ha ha ha...ahsante jamani kija, ndoto nyingine za kutisha bwana...sasa zikiwa kweli ntaishi kweli nduguyo? hahaa haa. ubarikiwe saaana kaka...pa1
Post a Comment