Profesa Malebo :Tanzania, imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda haki za
binadamu kwa raia wake
-
*Nchi imeruhusu uhuru wa kujieleza pamoja na
kukusanyika kwa uhuru
Mwandishi Wetu Maalum ,Marekani
Nchi ya Tanzania umetoa ujumbe wake Kwa Umoja wa Matai...
Monday, March 29, 2010
HAPPY BIRTHDAY DI' DADA!!
Japo hujasema ni kalenda ya ngapi umechana leo lakini kwangu sio ishu,mi nakutakia tu uchane kalenda mia zaidi na kila ndoto unayoota iwe kweli,happy birthday bi' dada!!!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:18 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
2 comments:
Hongera Agness!
ha ha ha...ahsante jamani kija, ndoto nyingine za kutisha bwana...sasa zikiwa kweli ntaishi kweli nduguyo? hahaa haa. ubarikiwe saaana kaka...pa1
Post a Comment