Ni habari mpya nilizozipokea muda si mrefu kupitia mtandao mmoja nnaouamini sana,ishu ni hivi Beyonce Knowles a.k.a Mrs Sean Cuter ni "mja-mzito",ni baada ya watu kuvumisha sana siku za nyuma juu ya ishu hii but now ni kweli imetokea na mtu mzima Jay Z ame'comment kwa kusema kwamba ni kweli,amefurahi na anasubiri kwa hamu sana kuitwa baba toka kwa mkewe mpendwa "Diva" lakini hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mkali huyo wa "Young 4eva" kuitwa mshua coz tayari alishafanya mambo kama haya kwa mademu wengine longtime,so tuiskilizie hii au vp???????
CHELSEA KUZIMA NDOTO ZA ARSENAL LEO?
-
KINACHOSUBIRIWA kwa hamu kubwa usiku wa leo ni je klabu ya Chelsea itaweza
kuzima ndoto za klabu ya Arsenal kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza
ms...
0 comments:
Post a Comment