PPRA, ZPPDA Zasaini Makubaliano Kuenzi Miaka 60 ya Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
Wakati kesho Tanzania ikisherehekea miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar, Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) na M...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment