Profesa Malebo :Tanzania, imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda haki za
binadamu kwa raia wake
-
*Nchi imeruhusu uhuru wa kujieleza pamoja na
kukusanyika kwa uhuru
Mwandishi Wetu Maalum ,Marekani
Nchi ya Tanzania umetoa ujumbe wake Kwa Umoja wa Matai...
Monday, March 29, 2010
RJ COMPANY
Hawa ndio Rj company,kiukweli jamaa wako serious kweli bwana na ndoto yao ya kuipeleka movie industry katika level za kimataifa naamini itatimia soon,hebu fanya hivi, tafuta movie yao yoyote and then itazame halafu utaniambia mwenyewe,inshort mi nawakubali sana tu,na sasa naisubiri kwa hamu "My Dreams".Pigeni kazi vijana,nawaamini.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:59 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment