HASHEEM THABEET MANKA
Mdau na fans wangu,jana katika pitapita zangu kwenye foleni zetu za mataa ya jiji hili ni kama sikuamini vile,pembeni yangu ikapaki gari moja ya maana sana,achana na hizi Range Rover Sport zilizojaa hivi sasa hapa town za milioni 45 mpaka 50,ilipaki Range Rover Vogue halisi ya "ukweli" ambayo bei yake kwa harakaharaka ni kama 250 mil za kibongo na ndani yake alikuwamo mchezaji anayechezea timu ya mpira wa kikapu ya Merphis Grizzlies inayoshiriki ligi nambari moja ya kikapu duniani ya NBA Hasheem Thabeet Manka,sasa ndo nikagundua kumbe mshikaji yuko town.Karibu home bwana,mvua mvua ndo hii na kijotojoto kimepungua kidogo tuna-enjoy kiaina.
RANGE ROVER VOGUE
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Imeahidi Kukabiliana na Hali ya Ugumu wa
Maisha
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akijumuika na Familia ya Mzee Daudi Suleiman Ali, alipofika nyumbani ...
0 comments:
Post a Comment