Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba mchizi kutoka Kampala anakwenda kwa jina la Daniel Kigozi aka NAVIO amekula shavu kufanya ngoma na producer na rapper kutoka nchini Marekani Timberland.Navio ambae yuko kwenye lebo ya Talent 256 anasema sasa ndoto zake zinatimia coz amehustle kwa muda mrefu sana kufanya kazi na star yeyote toka mbele,nadhani hii ndo nafasi ya jamaa kutoka kimataifa,hebu tumsikilizie au vp....
TGNP WAMUIBUA DIWANI WA MTWARA, AWAASA WANAWAKE KUTOKUKATA TAMAA
-
Diwani wa wilaya ya Mtwara, Farida Abdallah akizungumza wakati akitoa
Kestoria yake ya kuwania nafasi ya uongozi katika Kilinge salama kwa
Wanawake, Wasi...
0 comments:
Post a Comment