Hongera mshikaji wangu wa longtime na kufa na kuzikana Liberatus Musiba aka Odele aka Baba Nyambela kwa kutuletea mtoto mzuri wa kike aitwae Nyambela,mimi nimefurahi sana kwakweli kwa 7bu imekuwa surprise kwetu wengi,lakini kwanini hukutaka kutuambia kuwa mkeo mpendwa Junko Kato ni mjamzito??naamini ulitaka kufanya surprise na kweli umefanikiwa,mimi sina mengi kwakweli ila kukupongeza na kukukaribisha katika ulimwengu huu wa "kuitwa baba",wenzako tulishakutangulia muda kidogo,nawatakia furaha njema wewe na familia yako yote huko Tokyo Japan,msalimie mkeo Junko na "mgeni wetu" Nyambela.
MSIFANYE KAMPENI KINYEMELA KABLA YA MUDA WAKE -KATIBU CCM KIBAHA MJI
-
*NA VICTOR MASANGU,KIBAHA *
Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha mjini Issack Kalleiya
amekemea vikali tabia ya baadhi ya wanachama kua...
0 comments:
Post a Comment