Hongera mshikaji wangu wa longtime na kufa na kuzikana Liberatus Musiba aka Odele aka Baba Nyambela kwa kutuletea mtoto mzuri wa kike aitwae Nyambela,mimi nimefurahi sana kwakweli kwa 7bu imekuwa surprise kwetu wengi,lakini kwanini hukutaka kutuambia kuwa mkeo mpendwa Junko Kato ni mjamzito??naamini ulitaka kufanya surprise na kweli umefanikiwa,mimi sina mengi kwakweli ila kukupongeza na kukukaribisha katika ulimwengu huu wa "kuitwa baba",wenzako tulishakutangulia muda kidogo,nawatakia furaha njema wewe na familia yako yote huko Tokyo Japan,msalimie mkeo Junko na "mgeni wetu" Nyambela.
Makamu wa Rais Dkt. Mpango Amewaagiza UCSAF Kuendelea Kusimamia Ujenzi wa
Minara ya Mawasiliano
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Mfuko wa
Mawasili...
0 comments:
Post a Comment