J-MARTINS
Ijumaa hii nitakuwa na albam ya mchizi huyu kutoka pande za Nigeria ambaye hivi sasa yuko kwenye ardhi ya J.K akipiga tour yakutosha tu,albam inaitwa "Elevated".Usikose kupitia blog hii ya burudani ili kujua zaidi......au vipi!!!!
WAKABIDHIWA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA VUNADEILE
-
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Tree Oceans Ltd .
Inayojishughulisha na uendeshaji wa mchezo wa kubashili wa VUNADEILE Nasee...
0 comments:
Post a Comment