Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasema leo Aprili,19...
Thursday, April 1, 2010
IJUMAA KUU NJEMA!!!!
Nawatakia Ijumaa Kuu njema,japo ni weekend lakini chondechonde wadau,tusiende kwenye starehe,ijumaa kuu ni siku ambayo tunaadhimisha mateso na kusurubiwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo kwahiyo ni siku ya huzuni na kutokula nyama,hivyo basi ni vizuri kama ukitulia nyumbani na kutafakari kwa umakini tukio hilo zima na ukumbuke kuwa yote hayo yametokana na dhambi zetu sote mimi na wewe,alisurubiwa ili mimi na wewe TUPATE KUOKOKA.
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:47 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comments:
Nimefurahikujua kuwa uko ndani ya wanablogu aswnte sana bila shaka tumeachana siku nyingi sana pale Royal College of Tanzania
Post a Comment