WASHINDI 56 MTOKO WA KIBINGWA BETIKA KUSHUHUDIA DERBY DIMBA LA MKAPA KESHO
-
WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya
Kariakoo kati Simba na Yanga itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkap...
Thursday, April 1, 2010
IJUMAA KUU NJEMA!!!!
Nawatakia Ijumaa Kuu njema,japo ni weekend lakini chondechonde wadau,tusiende kwenye starehe,ijumaa kuu ni siku ambayo tunaadhimisha mateso na kusurubiwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo kwahiyo ni siku ya huzuni na kutokula nyama,hivyo basi ni vizuri kama ukitulia nyumbani na kutafakari kwa umakini tukio hilo zima na ukumbuke kuwa yote hayo yametokana na dhambi zetu sote mimi na wewe,alisurubiwa ili mimi na wewe TUPATE KUOKOKA.
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:47 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comments:
Nimefurahikujua kuwa uko ndani ya wanablogu aswnte sana bila shaka tumeachana siku nyingi sana pale Royal College of Tanzania
Post a Comment