Kesho ni ijumaa fans wangu,so kama unafuatilia vizuri blog yetu ya burudani kama kawa kama dawa ile segment yetu ya "makengeza" itaendelea,nitakuwa na akina nani ambao mimi nahisi wanafanana??Don't ever miss it.
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitoa wito kwa
taasisi za fedha za kimataifa kuongeza fedha kwaajili ya kuzisaidia nchi za
kipa...
0 comments:
Post a Comment