Ilikuwa ni j5 ya wiki iliyopita,nilitoa kama ka-quiz hivi,nilitoa picha ya mtoto huyo hapo juu na kuuliza "Guess who is this",najua wengi walishindwa ku-comment coz najua blog yetu ina tatizo kidogo kwenye ku-comment,lakini wale waliopata nafasi ya kuniandikia emails wote walikosa,jamani huyu niiiiiiiii!!!!!!!
MAKO CHALI,producer mkali wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo,yuko pale MJ RECORDS.Thanx kwa wote walionitumia emails na tuendelee kushirikiana na blog yetu ya burudani.
MATUKIO; ASKARI WAWILI WAJERUHIWA AJALI YA MOTO MLANDIZI
-
Na Khadija Kalili, Michuzi Tv
ASKARI wawili wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji wamejeruhiwa wakiwa katika
harakati za kuokoa marehemu waliokuwa wamenasia kwe...
0 comments:
Post a Comment