Ilikuwa ni j5 ya wiki iliyopita,nilitoa kama ka-quiz hivi,nilitoa picha ya mtoto huyo hapo juu na kuuliza "Guess who is this",najua wengi walishindwa ku-comment coz najua blog yetu ina tatizo kidogo kwenye ku-comment,lakini wale waliopata nafasi ya kuniandikia emails wote walikosa,jamani huyu niiiiiiiii!!!!!!!
MAKO CHALI,producer mkali wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo,yuko pale MJ RECORDS.Thanx kwa wote walionitumia emails na tuendelee kushirikiana na blog yetu ya burudani.
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitoa wito kwa
taasisi za fedha za kimataifa kuongeza fedha kwaajili ya kuzisaidia nchi za
kipa...
0 comments:
Post a Comment