Haya!haya!haya!haya tena wadau na fans wa blog ya burudani(muziki na maisha),its another "furahi-day"(friday) kama kawa najua utakuwa unahamu ya kutaka kujua leo nimekuletea albam ya nani katika ile "segment" yetu ambayo ilianza wiki iliyopita ya "My Album of the Week",kama nilivyokuahidi hii itakuwa ndio kama bye bye ya kukutakia weekend njema kabla ya "kufunga shule" kwa wiki hii si ndiooo???sema NDIOOO!!!Leo niko na mwanadafada mkali wa SOUL MUSIC na ambaye mtindo wake wa maisha umekuwa ukiwashangaza wengi,si mwingine niiiiiiiiiiii!!!!!ERIKAH BADU!!na albam yake mpya kabisa inaitwa "NEW AMERYKAH PT 2(the Return of ANKH).Hii ni albam ya saba na ambayo mwanadada huyo ameiachia kitaa rasmi 30 March mwa huuhuu kwahiyo bado iko moto kabisa.Lakini hii ni part II ya albam yake ingine aliyoiachia February 26 2008 chini ya lebo ya MOTOWN iliyoitwa "NEW AMERYKAH PT 1(4th World War).
Profesa Malebo :Tanzania, imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda haki za
binadamu kwa raia wake
-
*Nchi imeruhusu uhuru wa kujieleza pamoja na
kukusanyika kwa uhuru
Mwandishi Wetu Maalum ,Marekani
Nchi ya Tanzania umetoa ujumbe wake Kwa Umoja wa Matai...
0 comments:
Post a Comment