BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, April 9, 2010

MY ALBUM OF THE WEEK(BATTLE OF THE SEXES by LUDACRIS)

Wadau na fans wa blog ya burudani(muziki na maisha) kuanzia ijumaa ya leo nitakuwa nakuletea "my album of the week",hapa nitakuwa nakuletea uchambuzi kiduchu wa albumz mbalimbali za hapa nyumbani na za mbele pia kila ijumaa ili kama vipi nawe unenepeshe maktaba yako ndogo nyumbani,mapumziko ya weekend uyatumie kusikiliza kwa makini sana albam hiyo.Leo nakuja na mzigo mzito na mpya kabisa wa mtu mzima LUDACRIS unaitwa "BATTLE OF THE SEXES"

Hii ni sura ya mbele ya cover album ya  "Battle of the Sexes" ya Luda.
Na hii ni sura ya nyuma ya albam hii ambayo "bado mupya" kabisa,imeingia kitaa rasmi March 9 na ndani kuna "mikono" kumi na nne iliyojaa kiukweli,hit mbili tayari ziko on air na zinaharibu sana utaratibu pande hizo,nazo ni "My Chick Bad(feat Nicki Minaj)" na "How Low",zingine zilizoko ndani ni "Everybody Drunk(feat Lil Scrapy)","I do it all night(feat Shawna)","Sex Room(feat Trey Songs)","I Kno Yu got a Man(feat Flo-Rider)","Hey Ho(feat Lil Kim&Lil Fate)" na "Party No Mo(feat Gucci Mane)".Zingine ni "Can't live with Yu(feat Monica)","Feeling so Sexy(feat Shawna)",'Tell Mi a Secret(feat Neyo)","My Chick Bad rmx(feat Dimond,Trina&Eve)" na "Sexting".Mzigo wote umefanywa na wapishi kibao wakali kama Pharell Williams wa The Neptunes,SwizBits,Gaggie,The Runners,Bangladesh,Infinity,Dj Montay,T-Minus na wengine kibao.Kwa taarifa yako mpaka ijumaa ya leo "Battle of the sexes" iko nafasi ya kwanza katika Billibords Top 200 albums,so?? ndo hivyo kama vipi ruka nayo weekend hii iwe pooooaaaa kama yangu itakavyokuwa,chiaoooooo!!!!WEEKEND NJEMA!!!

0 comments: