BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, April 23, 2010

NEXT WEEK ON www.muzikinamaisha.blogspot.com

Kama ujuavyo fans wangu,leo ni ijumaa,siku ya "kufunga shule" kama kawa,hii ina maana kukutana tena hapa ni mpaka j3 ya wiki ijayo,wiki ijayo naamini itakuwa wiki njema sana kwetu sote koz ni wiki ya mwisho wa mwezi teh!teh!teh!(mambo ya mikukuta).So kabla sijakutakia weekend njema,hapa nakudokeza japo kiduchu tu nini utegemee wiki ijayo hapa kwenye blog yenu ya burudani.

                                   JERRY SPRINGER

*Jerry Springer with a New Brand Tv Show "Baggage" na kila kitu kuhusu huyu jamaa.
*Pt II ya makala yangu ya "special kwa kizazi cha Bongo Fleva",sehemu ya kwanza tayari, so nitaendeleza pt ii yake.
*Mtazamo wangu na ushauri wangu kidogo kuhusu bendi mpya ya hiphop ya Chid Benz (La Familia the Band) na bendi zingine za kijasiriamali.
*Kama kawa ijumaa nitakuwa na zile segment zetu mbili za "makengeza" yangu na "My album of the week",si vya KUKOSA.
*Pia kuanzia j5 ya wiki ijayo na kila j5 nitaleta segment mpya ya "Muziki na Maisha meets",hili ni shavu kwako mdau na fans wangu wote,nitakuwa na nafasi ya kutoa picha na profile kuhusu mdau yeyote wa muziki na maisha blog,si lazima awe star,so kama utataka utokee hapa,basi sio ishu hii ni nafasi kwako itumie,nitumie picha zako zozote na ukiwa popote na profile yako kwa ufupi kupitia emails hizi bizzo4shizzo@ymail.com na renatuskiluvia@ymail.com halafu j5 yoyote nitakutundika hapa.


*Birthday za mastaa na bila kusahau ma-breaking news kibao ya kiburudani ya ishu za mbele na hapa Bongo pia,so usikose kupitia blog hii weekend hii nzima,wiki ijayo na siku zote,pia usisahau ku-comment kwa lolote.NAKUTAKIA WEEKEND NJEMA,lets meet on Monday tukijaaliwa.Thanx.  

0 comments: