BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, April 1, 2010

UNCLE CHARLIE ANA KANSA!!!!

Uncle Charlie


      Huyu ndio Charlie,the last name Wilson

Mkongwe wa slowjams Charlie Wilson a.k.a Uncle Charlie amewakumbusha wanaume wote wamarekani weusi nchini humo kuwa na utamaduni wa kwenda kucheki afya zao mara kwa mara.
Mkali huyo anayetamba na ngoma "there goes my baby" ametoa angalizo hilo hivi karibuni baada ya kupimwa na daktari wake na kuambiwa kuwa ana kansa."kiukweli nilishtuka sana na nikaona huu sasa ndio mwisho wa maisha yangu lakini nilipata moyo na nguvu mpya baada ya daktari wangu kuniambia kuwa ni kansa iliyo katika hatua za awali kabisa kwahiyo tunaweza kuishughulikia mpaka ikatoweka kabisa"amesema.Na kutokana na hilo Charlie Wilson kwasasa amekuwa karibu zaidi na kufanya kazi za kujenga umakini(build awareness) kwa raia na wamarekani weusi zaidi.Huyu ndio Uncle Charlie bana!!!

0 comments: