Justine Timberlake
Robin Thickel
Wadau kuna mtu aliniambia kuwa anawafananisha sana hawa jamaa,kwa sura,wanavyovaa na kuimba pia.Ikabidi niingie kazini kulichunguza hili,duh nikaja gundua kuwa kuna ukweli ndani yake,Justine Timberlake na Robin Thickle ni kama brothers hivi?(sina maana ya ndugu).Sasa hebu nawe tuambie basi unawaonaje?ni kweli wanashabihiana au macho yetu tu,labda wengine tuna makengeza teh!teh!teh!teh!
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI PWANI LAWAFUNDA WANANCHI JUU YA KUJIKINGA NA
MAFURIKO NA MAAFA
-
NA VICTOR MASANGU,PWANI
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Pwani Katika kukabiliana na majanga
mbali mbali yakiwemo ya moto na mafuriko ya mvua i...
1 comments:
Labda wamefanana pua!!
Post a Comment