Justine Timberlake
Robin Thickel
Wadau kuna mtu aliniambia kuwa anawafananisha sana hawa jamaa,kwa sura,wanavyovaa na kuimba pia.Ikabidi niingie kazini kulichunguza hili,duh nikaja gundua kuwa kuna ukweli ndani yake,Justine Timberlake na Robin Thickle ni kama brothers hivi?(sina maana ya ndugu).Sasa hebu nawe tuambie basi unawaonaje?ni kweli wanashabihiana au macho yetu tu,labda wengine tuna makengeza teh!teh!teh!teh!
MWENGE WA UHURU KUINGIA MKOA WA PWANI APRILI 29
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge akizungumza na Waandishi wa
Habari Ofisini kwake leo Aprili 25, 2024 hawapo pichani.
Na Khadija Kalil...
1 comments:
Labda wamefanana pua!!
Post a Comment