BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, April 9, 2010

WAMEFANANA KWELI??AU MACHO YANGU TU!

                                                 Justine Timberlake
                                                    Robin Thickel
Wadau kuna mtu aliniambia kuwa anawafananisha sana hawa jamaa,kwa sura,wanavyovaa na kuimba pia.Ikabidi niingie kazini kulichunguza hili,duh nikaja gundua kuwa kuna ukweli ndani yake,Justine Timberlake na Robin Thickle ni kama brothers hivi?(sina maana ya ndugu).Sasa hebu nawe tuambie basi unawaonaje?ni kweli wanashabihiana au macho yetu tu,labda wengine tuna makengeza teh!teh!teh!teh!

1 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Labda wamefanana pua!!