BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, May 13, 2010

FID NA GOMA JIPYA...

FID Q
                                                 
Ni habari ambazo nimezipokea muda si mrefu toka kwenye facebook kuwa,mchizi toka Mwanza Fareed K aka Fid Q aka Ngosha now anapika ngoma ambayo soon itakuwa masikioni mwako,ngoma inaitwa "ngosha the swagga don" na ktk koras kasimama Naj,cha kushangaza zaidi ni kwamba Fid ameimba katika vesi ya pili,mikono ni ya Mako Chali pale Mj Records,tusubiri tuoneee!!!!!!!

0 comments: