JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI PWANI LAWAFUNDA WANANCHI JUU YA KUJIKINGA NA
MAFURIKO NA MAAFA
-
NA VICTOR MASANGU,PWANI
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Pwani Katika kukabiliana na majanga
mbali mbali yakiwemo ya moto na mafuriko ya mvua i...
Tuesday, May 18, 2010
HABARI NJEMA....
Hizi ni habari njema kwenu wadau wa blog hii ya burudani MNM,blog yenu inazidi kuboreshwa zaidi na zaidi,sasa twaweza kuchat kupitia blog hii,upande wa kulia wa blog kuna chat room kwa ajili yenu fans kufanya chochote mtakacho,isipokuwa matusi tu ndo hayahitajiki,pia kuanzia sasa tutakuwa na "video ya wiki" upande huo huo wa kulia wa blog,waweza kuclick na youtube itafunguka nawe kuweza kucheki hiyo video yetu ya wiki,na kuanza,leo tunaanza na video inayobamba kinoma ya mwanadada kutoka "Young MONEY" Nicki Minaj,kitu inaitwa "Massive Attack",ENJOY!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:13 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment