Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
USIKU WA KUPIGA MKWANJA NA EPL, LIGUE, NA COPPA ITALIA
-
KWA wale wote wanaobashiri na mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya
Meridianbet kwa taarifa tu leo ni ile siku ya kupiga mkwanja kupitia ligi
ku...
0 comments:
Post a Comment