Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
DC MPOGOLO AONGOZA MAOMBEZI YA TAIFA KATIKA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR
-
*Jiji la DSM lafanya Hafla ya Maombi na Dua ya Kuliombea Taifa
KTIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
leo t...
0 comments:
Post a Comment