Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
MUHIMBILI YAZINDUA MASHINE YA KISASA YA KUCHUNGUZA SARATANI YA MATITI
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imezindua mashine mpya ya kisasa
(Senographe Pristine 3D Mammography suite) Yenye ...
0 comments:
Post a Comment