BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, May 12, 2010

ITS A BOB MARLEY DAY PIPO!!!!!!!

 
BOB AKINYONGA KITU
                                     
Pipo leo ni siku ya Bob Marley,tar 12 May ya kila mwaka wapenzi na fans wote wa muziki wa regge wanakumbukia siku ambayo dunia nzima ilizizima kwa majonzi baada ya kupokea taarifa ya kushtua ya kifo cha muasisi na mfalme wa muziki wa regge duniani Robert Nesta Marley almaaruf kama Bob Marley,hiyo ilikuwa mwaka 1981,ni miaka takribani 29 sasa toka jamaa atangulie kwa ugonjwa wa kansa ya mguu.


BOB MARLEY
                                             
Kiukweli kwa miaka yote hii 29 ambayo huyu jamaa amekuwa hayupo ktk game hakuna aliyetokea kama yeye,uongo??So Rastafarians wote MNM inawatakia Bob Marley Day njema,harakati ziendelee....

0 comments: