BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, May 19, 2010

KAKA PUNGUZA ILE KITU YA "BOB"...

BOBY WINE
                                                                  
"The gheto president" Boby Wine inasemekana wiki iliyopita alikimbizwa hospitali moja jijini Kampala baada ya hali yake kubadilika ghafla na baada ya kupimwa ikagundulika jamaa ana malaria na madaktari kuamua kumlaza.Lakini habari za ndani kutoka kwa washkaji zake wa karibu aliokuwa aki-hang nao siku hiyo wanasema mchizi alikula ile kitu ya "bob"(bangi) kwa kiwango cha juu sana,inawezekana alikuwa na malaria kweli lakini kiwango cha "mboga" aliounguza that day ndo iliifumua malaria hiyo,so brother kama fanya kupunguza hivi coz kwani unashindana na nani??

0 comments: