Kutokana na maombi ya watazamaji kibao ambao hawakupata nafasi ya kucheki "tupo pamoja" show ya TTV wiki iliyopita,kwa kuwa wengi walikuwa karibu kufuatilia utoaji na upokeaji wa tunzo za Kilimanjaro Tanzania,kipindi cha "tupo pamoja" cha wiki iliyopita kitarudiwa leo,katika SIDE A alikaa kitini mtu mzima Ney wa Mitego na SIDE B aliwekwa "kitimotozz" mtayarishaji bora wa video Bongo(2008-2009) John Kallage wa Kallage Pictures,usikose show hii ya ukweli na mtu mzima ARNIE GIZZLE kwenye "kioo" chako mishale ya saa tatu kamili usiku,Don't Miss d' Show.TUPO PAMOJA.
MUHIMBILI YAZINDUA MASHINE YA KISASA YA KUCHUNGUZA SARATANI YA MATITI
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imezindua mashine mpya ya kisasa
(Senographe Pristine 3D Mammography suite) Yenye ...
0 comments:
Post a Comment