BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, May 6, 2010

MY INTERVIEW IN "TUPO PAMOJA" SHOW ON TTV..

Mambo vipi wadu na fans wa blog ya burudani MNM??naamini mko pouwa kabisa au vp?mzuka!!Fans wangu leo nilipata nafasi ya kufanyiwa mahojiano kidogo na kipindi cha "Tupo Pamoja" na mtangazaji mahiri Arnie Gizzle wa TTV,chamno kilikuwa ni tamasha la makabidhiano ya tunzo za  muziki za Kili Tanzania ambazo zitafanyika wiki ijayo tar 15 pale Diamond Jubilee,hapa nakuwekea baadhi ya picha nilizopata nafasi ya kuzipata....enjoy!!!

                        ARNIE GIZZLE AKITAMBULISHA SHOW

                                                            ME CHILLIN'

                                   ANOTHER POOSE(READY 4 THE SHOW)

               ARNIE GIZZLE MAKINI,NIKIDADAVUA MAMBO

                                     VERY VERY MAKINI....

                                TALK!TALK!TALK BOY...TALK

         PRODUCER WA SHOW BIG THOM AKITOA MAELEKEZO

            BAADA YA SHOW,TUKASHOW LOVE KWA PAMOJA

               ME WITH PRESENTER WA SHOW ARNIE GIZZLE

Usikonde,leo hebu enjoy na hizo halafu kesho ni mpango mzima hapahapa kwenye blog ya burudani MNM,nitakwambia ni nini hasa tulikizungumza khs Kili Music Awards,na show hii lini utaiona kwenye tv yako,pia "album of the week" ninao Cypress Hill na "makengeza yangu" segment itaendelea kama kawa,tukutane kesho HAPA HOME,si ndio??Paaaa!!!!

0 comments: