WAZIRI JERRY SILAA KUONGOZA KLINIKI YA ARDHI TANGA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
WAZIRI wa Ardhi,Nyumba na Mendeleo ya Makazi Jerry Silaa anatarajiwa
kuongoza Kliniki ya Ardhi kwa mkoa wa Tanga itakayofanyika ...
Monday, May 17, 2010
"THANK ME LATER" HAIKO KI-BUSSINES-DRAKE
Sijajua bado tatizo ni nini,sijui ni kutokujiamini ama lah,Drake anayetegemewa kudondosha mzigo wake mpya tar 15 ya mwezi ujao unaokwenda kwa jina la "Thank Me Later" amelonga katika moja ya interview zake kuwa albam hii haiko kibiashara kivile japo itauzwa kama kawa,sijamuelewa mchizi ana maana gani kusema hivyo coz hivi sasa yuko na ma-interviews ya kumwaga katika kuipromo albam hiyo,hebu ngoja tuone....
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:12 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment