BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, May 28, 2010

TONIGHT IN "TUPO PAMOJA" SHOW ON TTV...

ARNIE GIZZLE
                                          
Leo usiku katika show ya ukweli "tupo pamoja" ya TTV utashuhudia nini??endelea kusoma hapa........Arnie Gizzle katoa nafasi kwa chipukizi,atazungumza machache na jamaa wanajiita KVC(Kipunguni Vision Centre) ktk "SIDE A" na piaaaaaaaaaaaaaaa...........kama season one imekwisha vile?so ni wakati sasa wa kuiona crew nzima ya "tupo pamoja" show wakiizungumzia season nzima ya kwanza,producer BIG THOM na washkaji wengine wa nyuma ya kamera katika "SIDE B".Nakukumbusha,ni leo ijumaa saa tatu kamili usiku mpaka baadae,usiikose bana...

0 comments: