DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitoa wito kwa
taasisi za fedha za kimataifa kuongeza fedha kwaajili ya kuzisaidia nchi za
kipa...
Thursday, May 20, 2010
USIKU WA REGGE(MUSIC LIVE)
Huu ni upendeleo mwingine kabisa kwa wakazi wa Iringa(I town),usiku wa regge now ndani ya ukumbi wa IDYC(zamani MAKOSA) jumapili hii,live band huku zikipigwa ngoma mbalimbali za legendaries wa regge duniani kama Robert Nesta Marley(Bob Marley) na wengineo wengi,pia bata mdogo mdogo kwa kwenda mbele,usiikose hii mwana,"kauchakavu" mlangoni ni buku tatu tu za kibongo kuanzia saa mbili usiku mpaka "mswaki",tukutane pale.
Posted by RENATUS KILUVIA at 3:16 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment