MIAKA MIWILI YA FILAMU YA TANZANIA THE ROYAL TOUR, MABALOZI WAMPONGEZA RAIS
SAMIA KWA ONGEZEKO LA WATALII
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Kreta.
Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ujerumani, Ufaransa na
Ubelgiji wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muu...
Thursday, May 20, 2010
USIKU WA REGGE(MUSIC LIVE)
Huu ni upendeleo mwingine kabisa kwa wakazi wa Iringa(I town),usiku wa regge now ndani ya ukumbi wa IDYC(zamani MAKOSA) jumapili hii,live band huku zikipigwa ngoma mbalimbali za legendaries wa regge duniani kama Robert Nesta Marley(Bob Marley) na wengineo wengi,pia bata mdogo mdogo kwa kwenda mbele,usiikose hii mwana,"kauchakavu" mlangoni ni buku tatu tu za kibongo kuanzia saa mbili usiku mpaka "mswaki",tukutane pale.
Posted by RENATUS KILUVIA at 3:16 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment