Makamu wa Rais Dkt. Mpango Amewaagiza UCSAF Kuendelea Kusimamia Ujenzi wa
Minara ya Mawasiliano
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akihutubia wakati wa Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Mfuko wa
Mawasili...
Thursday, May 20, 2010
USIKU WA REGGE(MUSIC LIVE)
Huu ni upendeleo mwingine kabisa kwa wakazi wa Iringa(I town),usiku wa regge now ndani ya ukumbi wa IDYC(zamani MAKOSA) jumapili hii,live band huku zikipigwa ngoma mbalimbali za legendaries wa regge duniani kama Robert Nesta Marley(Bob Marley) na wengineo wengi,pia bata mdogo mdogo kwa kwenda mbele,usiikose hii mwana,"kauchakavu" mlangoni ni buku tatu tu za kibongo kuanzia saa mbili usiku mpaka "mswaki",tukutane pale.
Posted by RENATUS KILUVIA at 3:16 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment