Keshokutwaaaaaaa!!!!!!!!!!imefika bana,nilikuwa naona mbali kumbe kariiibuuuu,wadau zile tuzo ambazo naweza sema kwa sasa zinaheshimika sana BET Awards 2010 ni keshokutwa tu tar 27,tuzo hizo ambazo mwaka huu ni mwaka wake wa kumi toka zianzishwe zinategemewa kuwa kali sana kuliko miaka yote iliyopita,Mc ni Queen Latifah na tutegemee kuona shows kali kutoka kwa Chris Brown,Lil Wayne,Drake,Nicki Minaj na wasanii wengine kibao tu,mi yangu macho nani atakuwa nani...ntakushushia hapahapa MNM....
MBUNGE TWEVE NA KOMBA WAIPA HESHIMA TANZANIA
-
Mbunge Rose Tweve akishangiliwa na wabunge wenzake
Mbunge Rose Tweve na Yosepher Komba kulia wakijiandaa kwa kuanza riadha
Mbunge Rose Tweve kulia akiwak...
0 comments:
Post a Comment