TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI BARAZA LA MAWAZIRI WA MAJI
KAMISHENI YA BONDE LA MTO ZAMBEZI
-
TANZANIA imechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa ZAMCOM katika mwaka
2024-2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa Kamisheni
ya Bonde la M...
Tuesday, June 15, 2010
HAPPY BIRTHDAY MY BEAUTIFUL&LOVELY SISTER...
Ikiwa leo ni tar 15 June,ni siku ya kuzaliwa "my beautiful and very lovely sister" Judith Wambura aka Jide aka Binti Machozi aka Wallet na mengine mengi sana,najua una furaha kupita kiasi,nataka nikwambie kuwa mie pia nimo ndani ya furaha hiyo,twafurahi pamoja,na sina maneno mengi ya kusema zaidi ya haya...."MUNGU azidi kukupa maisha marefu yenye furaha na mafanikio zaidi na zaidi na zaidi,pia uzidi kuwa na moyo huohuo wa upendo na ustahimilivu wa kikwazo chochote kitakachotokea mbele yako"....kwa niaba ya blog ya burudani Muziki Na Maisha na fans wake wote nasema HAPPY BIRTHDAY BINTI MACHOZI...
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:28 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment