BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, June 17, 2010

HAPPY BIRTHDAY MY YOUNG BRO GEORGE&CRAIZY BONE OF BONE THUGZ N HAMORNY

GEORGE KILUVIA

Leo tar 17 June ni birthday ya mdogo wangu mpendwa ambaye waswahili wanasema "tuliachiana ziwa",yaani baada ya mimi akaja yeye,George Kiluvia Kachenje,miaka kadhaa leo,"sasa dogo mimi napenda nikwambie kitu bana,uko mbali kiukweli,tena sana,so???jitahidi kuishi na watu vizuri huko uliko na ufanye vizuri kile kilichokufanya uwe huko(studies) na hustlings",happy birthday na MUNGU akuzidishie maisha marefu na ufanikiwe kutimiza ndoto zako unazoota kila siku,lakini piiiiiiiiaaaaaaa nataka nikuambie kuwa unashea birthday na superstar na rappa mkali toka kundi la Bone Thugz n harmony,ni Craizy Bone,pia alizaliwa tar kama ya leo miaka kadhaa iliyopita,Happy birthday pia mtu mzima Craizy Bone...

BONE THUGZ N HARMONY


0 comments: