BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, June 23, 2010

LADIES & GENTLEMEN NA SASA NAMLETA KWENUUUUUU........LINEXXXXX!!!!!!...

LINEX

Kama hustling mchizi ka-hustle sana,tena sana,miaka kibao nyuma jamaa kakomaa vibayavibaya bila kukata tamaa na sasa hii ni TIME YAKE,ladies and gentlemen....anaitwa LINEX,mshikaji toka Kigoma kule mwisho kabisa wa reli kaachia mkono ambao ndio "ntolee"...ikirudi tena pancha.."Mama Halima" ndio mkono brand new kutoka kwa LINEX,mkono ambao mimi naamini utamfikisha pale anapotaka kufika kimuziki,muda mrefu sana mchizi alikuwa anaachia mikono mikali balaa lakini baadhi ya wadau ni kama walikuwa wanam'bania asi-shine inavyopaswa vile?"Mama Halima" umetengenezwa na Tudd Thomas pale Ngoma Records,sasa ni zamu yake,so msikilizeni yeye saivi....LINEX.

0 comments: