BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, June 4, 2010

LEO USIKU KTK "TUPO PAMOJA" SHOW...

ARNIE GIZZLE

Mdau ijumaa ndio hii,bata bata za weekend ndo twazianza hivi,lakini kabla ya chochote hebu nikusaue na hii,"Tupo Pamoja" show ya Ttv kama kawa iko hewani leo usiku kuanzia saa tatu kamili,na ni nini ambacho utakiona pande hizo....kaa nami vizuri nikujuze....Arnie Gizzle amemaliza season ya kwanza ya show,hivyo basi ni wakati mzuri wa wewe kucheki kwa ufupi vipindi baadhi vya season ya kwanza in case kama hukusanuka kabla,"SIDE A" kuna interview ya Hakeem 5,ni time yake leo,na ktk "SIDE B" mcheki bosi wa TMK Wanaume Family Saidi Fella,tukutane pale tufurahishe macho yetu bana......au vipi???

0 comments: