Profesa Malebo :Tanzania, imeendelea kuimarisha juhudi za kulinda haki za
binadamu kwa raia wake
-
*Nchi imeruhusu uhuru wa kujieleza pamoja na
kukusanyika kwa uhuru
Mwandishi Wetu Maalum ,Marekani
Nchi ya Tanzania umetoa ujumbe wake Kwa Umoja wa Matai...
Tuesday, June 22, 2010
MARADONA'S HAND GOAL 1986..
Mdau,tar kama ya leo mwaka 1986 katika World Cup iliyofanyika Mexico straika Diego maradona wa Argentina(ambaye sasa ni kocha wa timu hiyo) alitikisa nyavu kwa bao la mkono ambalo lilileta utata na mitafaruku kibao dunia nzima,so tulikumbuke ki hivi wakati fainali za mwaka huu zikiendelea huko Afrika ya Kusini....
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:30 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment