BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, June 17, 2010

OLD SKOOL......"KEITH SWEET"

KEITH SWEET

Katika Old Skool leo nakuletea mchizi ambaye kiukweli nnamiss sana,anaitwa Keith Sweet,mchizi alizaliwa tar 22 July 1961 Harlem New York,huyu ni mwanamuziki wa Urbun,R&B na New Jack Swing,muandishi wa nyimbo,producer na pia ni mtangazaji wa redio.Kabla Keith Sweet hajawa mwanamuziki rasmi alikuwa dalali wa bidhaa New York Mercantile Exchange,lakini baada ya kazi alikuwa anaimba kwenye Night Clubs mbalimbali jijini New York kabla hajaonwa na kusainishwa Elekra Records mwaka 1987.Mpaka sasa Keith Sweet ana watoto wanne,wakike wawili Keysha(1990) na Keia(1992),wakiume wawili pia Jordan(1995) na Justin(1998).Record lebel yake inaitwa Keia Entertainment.

K-S

Kwa sasa jamaa amesign Kedar Records kufanya album yake ya kumi "Ridin" ambayo itatoka June 22 mwaka huu,singo ya kwanza tayari inaitwa "Test Drive" yuko na Joe pia yuko katika lebel hiyo...Huyu ndio Keith Sweet bana,nimemmiss kiukweli.....


0 comments: