BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, June 25, 2010

R.I.P MICHAEL...WE TRULY MISS U..1YR UNNIVESARY..

MICHAEL JACKSON

Ilikuwa ni kama utani vile,na watu wengi hawakuamini bana,lakini ukweli ukabaki palepale kuwa King of Pop Michael Jackson "kaondoka" na hatarudi tena,leo ni mwaka mmoja kamili tangu Dunia nzima ilipozizima kwa taarifa za kifo chake,"tutakukumbuka daima Michael,upumzike kwa amani,We Miss U Michael"..

0 comments: