BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, June 3, 2010

"STAR TIMES" MAMMMAAAA YANGUUUUU!!!!!!!

MTV BASE

Mdau nina muda kitambo sasa natumia huduma za hawa jamaa bwana,wanajiita "STAR TIMES",duh!!kiasi tunachowalipa hata hakilingani na huduma wanazotupa kabisa,imagine tunawalipa sh. za kibongo 9000 kwa mwezi,ndani jamaa "wametupia" TRACE Tv,Entertainment Tv,BET,TRACE TROPICAL na jana usiku sasa,mammmaa yanguuuu sikuamini,nimekuta "wametupia" kitu cha MTV BASE na TBC2 pale kati,na bado hapo kuna channels zingine kibwena za akili,dah!!sina la kusema ila kwakweli MAISHA safiiiiiiiiiiii,weekend hakuna kuzurura wala nini,TUNASHUKURU SANA jamani,kilichobakia sasa "tupieni" channel kama mbili hivi za latest movies bila kusahau CLOUDS Tv na DTv,aaahhhh!!!natulia zangu home tuliiiii!!!ukija unatikuta.

0 comments: